SBS Learn Eng Ep 114 Jinsi yakuzungumza kuhusu Sensa na usalama wa data
Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu Sensa na usalama wa data?
Podcast Index
Browse podcasts by category, open recent episodes, and download audio to listen offline.
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS
Hi-Line Today
New Media Broadcasters
Jets @ Noon: Winnipeg Jets Podcast
Corus Radio
English News - NHK WORLD RADIO JAPAN
NHK WORLD-JAPAN
Rothen s'enflamme
RMC
Focus economia
Radio 24
The Bannermen: LA Kings Podcast
The Bannermen
COMPUTERWISSEN - Software - Hardware - Handy und mehr....
Computerwissen.de
Die Wochendämmerung - Der stabile Wochenrückblick
Katrin Rönicke und Holger Klein (hauseins)
Radio 1370AM Peligrosa.mx Tlax/Pue
grupo informativo 1370AM sa de cv
ABC News Update
ABC News
Más de uno
OndaCero
Une semaine dans le monde
FRANCE 24
Constitution | America Out Loud News
Constitution | America Out Loud News
Aristegui Noticias Podcast
Sonoro, Aristegui
The KSO Show
On3
CNN Inside Politics
CNN Podcasts
The Late Braking F1 Podcast
The Late Braking F1 Podcast
Audios Juan Ramón Rallo
Free Cuban
Journal en français facile
Français Facile - RFI
Red River Farm Network
Red River Farm Network
The Situation Room with Wolf Blitzer and Pamela Brown
CNN Podcasts
Independent Americans with Paul Rieckhoff
Righteous Media | Bleav
Amanpour
CNN Podcasts
AI Podcast Summaries from Transcripted.ai (VIDEO)
Transcripted.ai
David Gornoski
David Gornoski
Passione Inter
Passione Inter
Good for Bitcoin
Brandon Marshall & Kate Parkman
The Jerry Agar Show
iHeartRadio
Klartext – nyheter på ett enklare sätt
Sveriges Radio
franceinfo: Les informés
franceinfo
Explicador
Observador
The Beinart Notebook
Peter Beinart
The Basu & Godin Notebook
The Basu & Godin Notebook
Breakpoint
Colson Center
Packers Talk
Packers Talk LLC
C dans l'air
France Télévisions
News
SBS
Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu Sensa na usalama wa data?
Nigeria imesema itaitaka Afrika Kusini ilipe fidia kwa raia wake acha mali na biashara zao baada yaku kimbia nchi hiyo kutoka na maandamano dhidi ya wahamiaji.
Mashabiki wa timu za Afrika katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, walipata pigo kubwa katika siku ya 20 na 21 ya michuano hiyo.
Ada ya maombi ya visa ya mwanafunzi imeongezeka tangu Julai 1 kutoka $2,000 hadi $2,500, huku Visa ya Muda ya Uzamili, au visa nambari 485, sasa inagharimu $5,750.
Katika Siku ya 22 ya Kombe la Dunia la FIFA, Ureno iliwashinda Kroeshia katika mechi ya mwisho ya Kombe la Dunia ya Luka Modrić, Uhispania ili icharaza Austria, na Uswisi ikaishinda Algeria na kufuzu kwa Raundi ya 16.
Wanafunzi wakimbizi wanajenga upya maisha yao nchini Australia kupitia mpango mpya wa majaribio ya makazi, unaounganisha masomo yao ya chuo kikuu na viwanda ambapo kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi kama vile uuguzi.
Polisi wamewakamata vijana wawili baada ya mvulana wa miaka 15 kuachwa afe nje ya kituo cha matibabu cha jamii mjini Melbourne.
Mwaka huu DR Congo ilimaliza ukame wakuto shiriki katika Kombe la Dunia la FIFA baada ya zaidi ya miaka 50.
Bei ya petroli imeshuka hadi viwango ambavyo havijaonekana tangu mwanzo wa 2022. Taasisi ya Petroli ya Australia inasema wastani wa kitaifa wa lita moja ya mafuta yasiyo na risasi ulishuka zaidi ya senti 6 wiki iliyopita...
Siku ya 19 ya Kombe la Dunia la FIFA ilijumuisha mechi tatu za mchujo zenye ushindani mkali, huku Ujerumani na Uholanzi zikiondolewa baada ya mikwaju ya penati, wakati huo huo Brazil ilinyakua ushindi katika mechi yao mu...
Sio kutia chumvi tunaposikia kwamba Kombe la Dunia la FIFA lina tarajiwa kuleta dunia pamoja katika mwezi wa Juni. Baada ya yote, mpira wa miguu unajulikana kama mchezo maarufu zaidi duniani.
Shirika kubwa zaidi huru la habari nchini Uganda Nation media group limearifu kuwa limewekwa chini ya ulinzi mkali wa kijeshi mapema Jumapili.
Wanaume kutoka jumuiya za Afrika Mashariki wanao ishi jimboni New South Wales, wana jiandaa kwa kongamano maalum Jumamosi 27 Juni 2026.
Mweka Hazina wa Shirikisho Jim Chalmers anasema wafanyakazi, wanunuzi wa nyumba za kwanza na vizazi vijavyo watafaidika na sheria zenye utata za mageuzi ya kodi ambazo zimepitishwa hivi karibuni bungeni.Polisi warusha ma...
Socceroos wamefanikiwa kufika hatua ya mchujo baada ya kupata sare yakutofungana katika Kundi D, wakati Ecuador ikiwaacha wajerumani vinywa wazi katika Kundi E na kufuzu kushiriki katika hatua ya timu bora 32.
Nchini Australia, unaweza ona bendera tatu zikipeperushwa pamoja: Bendera ya Taifa ya Australia, Bendera ya Waaborijini na Bendera ya Watu wa visiwa vya Torres Strait.
Hali ya dharura ime anza kutumika nchini Venezuela baada ya matetemeko mawili makubwa ya ardhi, yaliyotokea magharibi mwa mji mkuu wa Caracas, na kuua watu wasiopungua 32 pamoja nakuwajeruhi mamia.
In a recent study of LGBTQIA+ asylum seekers and refugees, nature was used not just as a meeting place, but as an environment where participants felt safe without being questioned or judged. - Katika utafiti wa hivi kari...
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetahadharisha umma kuhusu kuenea kwa kasi kwa ugonjwa wa Ebola.
Lionel Messi amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa Kombe la Dunia, akifunga mara mbili nakusaidia Argentina kuishinda Austria 2-0 mjini Dallas, na kujihakikishia nafasi ya kwanza katika Kundi J, pamoja na nafasi katika h...
Fill in the form below. Make sure to select both Country and Genres.
Send us a message below. We will get back to you within 24 hours.