Mtao "Ukosefu wa utulivu wa kiakili na usimamizi mubovu wa mchezo umezigharimu timu za Afrika"
Mashabiki wa timu za Afrika katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, walipata pigo kubwa katika siku ya 20 na 21 ya michuano hiyo.
Podcast Index
Explora podcasts por categoría, abre episodios recientes y descarga audio para escucharlo sin conexión.
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS
Bubba the Love Sponge® Show
Podcast Playground
Frangela: The Final Word
Frangela Duo
Bitcoin News Digest Podcast
Mike Richardson
USSC Briefing Room
United States Studies Centre
Hancock and Kelley
Audacy
St. Louis News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Petit Journal
Petit Journal
The Bullvine Daily Brief
The Bullvine
Denver Broncos News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Lo Zoo di 105
Radio 105
Comprendre le monde : les podcasts de décryptage
Acast France
Health | America Out Loud News
Health | America Out Loud News
The Nurses Report on America Out Loud
The Nurses Report on America Out Loud
PZ Briefing – Die wichtigsten Nachrichten des Tages
Pharmazeutische Zeitung
KJZZ's Sun Up
KJZZ 91.5FM Phoenix
CORKED STATS: MLB / NFL PODCAST
MLB/NFL Betting, Fantasy + DFS
TJ & Riggins Show | Comedy, Pop Culture, Morning Banter
TJ Riggins | Comedy, Pop Culture, Morning Banter
The Blendr Report
Jonathan Harvey and Liam DeBoer
Chicago White Sox Today | 2 Minute News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
BBC News
BBC
Down n Dirty
WMNF 88.5 FM Tampa
Morning Mayhem
103.7 The Buzz
The Reality Taboo
Ness and Jeff
Los Angeles Chargers News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Milwaukee Brewers News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Chew's Views with Richard Chew (Full Episodes)
WCPT 820
New York Jets News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Red River Farm Network
Red River Farm Network
Turing's Torch Weekly | Artificial Intelligence News
Jonathan Harris | Artificial Intelligence News Host
The World, the Universe and Us
New Scientist
Что это было?
BBC Russian Radio
Beurs | BNR
BNR Nieuwsradio
Fitz The Bill
ESPN Richmond
Houston News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Noticias
SBS
Mashabiki wa timu za Afrika katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, walipata pigo kubwa katika siku ya 20 na 21 ya michuano hiyo.
Ada ya maombi ya visa ya mwanafunzi imeongezeka tangu Julai 1 kutoka $2,000 hadi $2,500, huku Visa ya Muda ya Uzamili, au visa nambari 485, sasa inagharimu $5,750.
Katika Siku ya 22 ya Kombe la Dunia la FIFA, Ureno iliwashinda Kroeshia katika mechi ya mwisho ya Kombe la Dunia ya Luka Modrić, Uhispania ili icharaza Austria, na Uswisi ikaishinda Algeria na kufuzu kwa Raundi ya 16.
Wanafunzi wakimbizi wanajenga upya maisha yao nchini Australia kupitia mpango mpya wa majaribio ya makazi, unaounganisha masomo yao ya chuo kikuu na viwanda ambapo kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi kama vile uuguzi.
Polisi wamewakamata vijana wawili baada ya mvulana wa miaka 15 kuachwa afe nje ya kituo cha matibabu cha jamii mjini Melbourne.
Mwaka huu DR Congo ilimaliza ukame wakuto shiriki katika Kombe la Dunia la FIFA baada ya zaidi ya miaka 50.
Bei ya petroli imeshuka hadi viwango ambavyo havijaonekana tangu mwanzo wa 2022. Taasisi ya Petroli ya Australia inasema wastani wa kitaifa wa lita moja ya mafuta yasiyo na risasi ulishuka zaidi ya senti 6 wiki iliyopita...
Siku ya 19 ya Kombe la Dunia la FIFA ilijumuisha mechi tatu za mchujo zenye ushindani mkali, huku Ujerumani na Uholanzi zikiondolewa baada ya mikwaju ya penati, wakati huo huo Brazil ilinyakua ushindi katika mechi yao mu...
Sio kutia chumvi tunaposikia kwamba Kombe la Dunia la FIFA lina tarajiwa kuleta dunia pamoja katika mwezi wa Juni. Baada ya yote, mpira wa miguu unajulikana kama mchezo maarufu zaidi duniani.
Shirika kubwa zaidi huru la habari nchini Uganda Nation media group limearifu kuwa limewekwa chini ya ulinzi mkali wa kijeshi mapema Jumapili.
Wanaume kutoka jumuiya za Afrika Mashariki wanao ishi jimboni New South Wales, wana jiandaa kwa kongamano maalum Jumamosi 27 Juni 2026.
Mweka Hazina wa Shirikisho Jim Chalmers anasema wafanyakazi, wanunuzi wa nyumba za kwanza na vizazi vijavyo watafaidika na sheria zenye utata za mageuzi ya kodi ambazo zimepitishwa hivi karibuni bungeni.Polisi warusha ma...
Socceroos wamefanikiwa kufika hatua ya mchujo baada ya kupata sare yakutofungana katika Kundi D, wakati Ecuador ikiwaacha wajerumani vinywa wazi katika Kundi E na kufuzu kushiriki katika hatua ya timu bora 32.
Nchini Australia, unaweza ona bendera tatu zikipeperushwa pamoja: Bendera ya Taifa ya Australia, Bendera ya Waaborijini na Bendera ya Watu wa visiwa vya Torres Strait.
Hali ya dharura ime anza kutumika nchini Venezuela baada ya matetemeko mawili makubwa ya ardhi, yaliyotokea magharibi mwa mji mkuu wa Caracas, na kuua watu wasiopungua 32 pamoja nakuwajeruhi mamia.
In a recent study of LGBTQIA+ asylum seekers and refugees, nature was used not just as a meeting place, but as an environment where participants felt safe without being questioned or judged. - Katika utafiti wa hivi kari...
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetahadharisha umma kuhusu kuenea kwa kasi kwa ugonjwa wa Ebola.
Lionel Messi amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa Kombe la Dunia, akifunga mara mbili nakusaidia Argentina kuishinda Austria 2-0 mjini Dallas, na kujihakikishia nafasi ya kwanza katika Kundi J, pamoja na nafasi katika h...
Chama cha Greens kimeita mpango wa serikali wa kurekebisha Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Watu Wenye Ulemavu kuwa sheria 'isiyo ya kibinadamu'.
Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu chakula cha starehe wakati wa majira ya baridi?
Completa el formulario de abajo. Asegúrate de seleccionar tanto País como Géneros.
Envíanos un mensaje abajo. Te responderemos en un plazo de 24 horas.